Friday, November 17, 2017

NDEGE YA BRITISH AIRWAYS YAVAMIWA HEWANI

British airways yavamiwa ikiwa hewani


Ndege ya British Airways ikiwa imevamiwa na kundi la ndge hewani muda mfupi baada ya kupaa


Kundi la ndege walao nyama limevamia ndege yakutoka Uingereza kampuni ya British Airways na kuleta tafrani kwa marubani, wasimamizi wa ndege na abiria. Kundi hilo la  ndege  limeishangaza dunia kwani kwa kipindi kirefu haijawahi tokea kama hivyo. 

Moja ya ndege akiwa amenasa kwenye ndege baada ya kutua

Bawa la ndege likiwa limeharibiwa vibaya na ndege

Hata hivyo wataalum wanatabahi kuwa huenda kutokana na ukosefu wa chakula ndiyo inaweza kuwa sababu kubwa ya ndege hiyo kuvamiwa na kundi hilo la ndege walao nyama. 
Hata hivyo rubani alititumia akili ya ziada na kuweza kufanikiwa  kutua kwa ndege hiyo bila kuleta madhara kwa abirua wala ndege hiyo.. 
Picha zaidi ziko hapa





Ndege ikiwa imeshatua salama

No comments:

Post a Comment

Audio