Saturday, April 20, 2024

SIMBA Vs YANGA

4/20/2024 06:02:00 PM 0

 MAPUMZIKO: YANGA 2-0 SIMBA, ZITAFIKA NGAPI?



Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika, Yanga inaongoza magoli 2-0 dhidi ya Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkapa


Walioitungua Simba mpaka sasa ni Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38

Friday, March 8, 2024

3/08/2024 10:35:00 AM 0

JE  WAZIFAHAMU ZIFAHAMU SIFA ZA MWANAMKE ANAYEFAA KUOLEWA?..


Ukiwa kama kijana na mwanaume mwenye ndoto za kupata mke bora katika siku hizi za kisasa za sayansi na teknolijia, tambua kuwa sio kazi nyepesi kuchangua mtu wa kuanza nae uchumba hadi kufikia ndoa yenye furaha ya amani ya moyo. Wanaume wengi wamejikuta katika mkanganyiko mkubwa hasa linapokuja suala la kutafta mchumba au mwenza wa kumuoa na kuanzisha maisha na familia. Kijana wa kiume anaweza kuanzisha uhusiano na msusruru wanawake ila linapokuja suala la kuoa basi lazima kidogo atulize kichwa kwa kuwa ndoa si lelemama kwani ni jukumu ambalo sio la kukurupuka.


Leo nimekuletea hapa baadhi tu ya sifa za masingi ambazo mwanamke anatakiwa awe nazo kama unataka kuoa. Ikumbukwe kuwa mwanamke unayetaka anaweza asiwe na sifa zote unazozitaka ila unashuuriwa kutofuata moyo pekee ili kuwa na maisha ya ndoa yenye upendo na amani. Tuanze moja kwa moja kwa kuzitaja sifa hizi;

  1.  Tabia njema: uzuri wa mwanamke amabye anafaa kuwa mama wa  watoto na familia unapimwa kwa tabia. Hii ina maaana kuwa mwanamke ambaye mwanaume unataka kuingia nae katika ndoa ni sharti awe na tabia njema kwani atakuheshimu na atalea vema watoto. Tumekuwa  tukiona wanaume wana date na wanawake wazuri wazuri wa kila aina ila akitaka kuoa  lazima aangalie yupi ana adabu na tabia njema ili ndoa yake isiwe ya vitimbi. Si maanishi wazuri hawaolewi ila kuwa na tabia njema ni kigezo kikubwa cha mwanamke kuolewa kwahiyo mwanamke  jitahidi kutengeneza tabia yako kuwa njema na ya staha kwa mwanaume ili kujipa nafasi nzuri ya kuolewa.  
  2. Mwanamke mwenye kushika dini, kuna wanawake wengi wazuri sana ila hawashiki dini. Tunaamini kuwa anayaeshika dini huwa na heshima kwa mumewe kwa kuwa hata dini inafundisha hivyo. Japo si wote wanaoshika dini huwa na heshima ila aghalabu wanawake waliolelewa katika dini huwa na hashima sana kwa waume zao. Pia ni rahisi mtu huyu kuwafundisha watoto njia njema na salama katika ulimwengu huu wa kisasa.
  3. Heshima na adabu, hapa hekima inahitajika kujua yupi anaheshima. Ukiwa kama mwanaume na unakuta mwanamke mwenye heshima basi jitahidi kuwa makini kwani wanaweke wengine huigiza tabia ili tu waolewe. Wapo wanawake wazuri kama malaika ila tabia zao ni kama shetani yaani ni wazuri ila hawana hata chembe ya heshima, kuanzia mavazi yake si ya heshima, sijui nguo zimechanika chaninka au nguo za kulalia anavaa mchana na za machana usiku. Kama anashindwa kuwa na heshima hata juu ya mwili wake atakuheshimu wewe mwanaume? So badilika dada yangu ili usiseme ulizaliwa na mikosi huolewi kumbe unajitakia tu.
  4. Anaye vaa kwa staha na heshima; mwanamke avae kwa staha sio anavaa kama mhuni au kahaba fulani hivi. Mwanamke usivae tu kisa fasheni au kwa kuwa fulani kavaa,  au ili uoneshe kuwa una sahpe na vitu kam hivyo. Unavaa nguo mpaka ukipita kwa watu unajistukia mwenyewe? Aina ya nguo hizo zinafanya wanaume watamani na wengine wanaweza kujua ni mhuni kupitia tu nguo ulizo vaa hata kama si tabia yako. Usiseme unavaa kuendana na wakati. Mwanamke anayevaa nguo ambazo hazimpi uhuru akitembea hawezi kuwa mwanamke bora kama mke wako. Mwanaume unamnunulia mchumba vinguo vya ajabu akivaa na kupita mtaani wahuni wanamtamani  wanamtongoza na hawezi kukataa. Usilalamike chanzo ni wewe.

Suala la maadili  ni muhimu mno  katika mavazi, SIKUHIZI MWANAMKE AKIVAA STARA ATAITWA MSHAMBA NA AMEPITWA NA WAKATI. LAKINI AKIVAA NUSU UCHI ATAITWA MTOTO MKALI wa mjini.  Mimi siamini kama ili mwanamke aonekane mrembo zaidi ni lazima avae nusu uchi. Wakati huohuo asilimia kubwa ya wanawake walio olewa ni wale wanaojisitiri vema!!

5: Anayependa na kuwaheshimu wazazi, ni wajibu wa mwanamke kuwapenda wazazi wake na wa upande wa kiume. Unadate na binti unakuta hata wazazii wake hawapendi na hata wakwako hawapendi wala kuwa heshimu, huyo ni jipu muache kwani ipo siku mama atakuja kukutembelea badala ya kupikiwa atamgeuza mamamkwe housegirl. Acheni heshima za kinafiki.

6: Awe na mapenzi ya dhati na anayejua kupenda, wengi wameumi sana kwa kupenda au kupenda kisa mtu anakitu Fulani aidha fedha au mali. Kumbuka furaha na upendo wa kweli hautokani na mali au pesa, mwamke asikupendea kwa kuwa una pesa au wewe ni meneja, ukifirisika lazima uone dunia kama kuzimu vile.  Ewe binti usimpende mtu sababu ya pesa au uatajiri kwani hivi vitu vinapita, jali utu na thamni ya mtu si mali au cheo chake. Kuna watu wnapesa ila ndoa zao ni machungu mnoo..bora maskini anayepata upendo kuliko tajiri mwenye machungu ya moyo.

7: Kauli njema  na za adabu, chunguza  kauli zake je za kutia moyo au kukatisha tamaa? Yaani awe mtu wa kukutia moyo wewe mwanaume,  anakuongelesha kwa heshima sio anakuwa mkali kama askari wa zamu wa jeshii la zimamoto. Ndio maana mwanaume alioa akiwa bonge gafla anaconda na kuwa kma mbu wa kiangazi, kauli zinafanya wanaume wanakimbia uhusiano, utasikia naenda kwa Jeni rafiki yako, yes ataenda kwa kuwa wewe hujui kuongea na mpenzi wako vizuri. Binti ichunge kila kauli uitoaye pindi uwapo  na boyfriend au mchumba wako.

8: Mwenye malengo na mtazamo wa kimaendeleo, siku hizi wnawake wameamka sana wanapenda kuendeleo,  awe mtu mwenye mipango ya mbele ya namna ya kuendesha familia na kufanikiwa, awe anashirikiana nawe katika kutekeleza miapngo ya maendeleo na si kung’ang’ania nywele na mawigi ya  elfu 70 wakati mnaishi nyumba ya kupanga, huyo mwogope kama ukoma.

9: Asiwe mtu wa makundi sana na starehe, ktk vitu vinavyofanya mwanamke akakosa adabu ni makundi. hatukatai kila mtu anazungukwa na watu ila makundi mengine yanabomoa, utasikia “we mjinga mwanaume mmoja pekee atakusaidia nini”. Kuwa makini na makundi ambayo mchumba au boy/girlfriend anaishi nayo. Kuna wanawake vichwa vyao vyawaza kubomoa uhusiano wa wengine, wanawaza pombe, mziki, starehe na kulewa, hayo makundi yaogope kama ukoma.


10: Asiyependa kuiga, utasikia “beby nataka simu kama ya Mwajuma ile Iphone 7”  au si jui gauni la Angel. unajua boyfriend wako hana uwezo ila unaiga kwakuwa fulani anayo, huo ni ujinga. Mwanaume muepuke mara moja binti kama huyu kwani ipo siku utashindwa kumnunulia na atakuacha. Mwanamke bora haigi kila kitu…

 11. Asojivunia uzuri wake, mwanaume unakutana binti kauli zake tu ni kukutishia eti mzuri mi sana! Mimi nasemaga hata Cleopatra alikuwa mzuri ila alimtii mumewe, wewe nani hata ujidai na uzuri wako? Uzuri huo ni nini? Eti nina kiuno! Sio kweli kabisa, Ndio maana kuna mwanasaikolijia alisema mwanaume ukitaka kuishi kwa stress “oa mzuri sana”  simaanishi usiwe na mwanamke mzuri ila asiwe wa kujivunia uzuri wake. Waswahili wana sema “kama Mzuri Olewa” so usipende sana kutumia uzuri kama silaha okay…

12: Anasikiliza na kukutii, mwanamke bora huwa anakuwa msikilizaji, anahoji vizuri na kwa utulivu, sasa unakuta mtu ni  mchumba tu hata hujamaliza ulicholikuwa unaongea kasha dakia, majibu ya ovyoovyo, hiyo ndoa lazima iwe ya kibondia na kwa wenye miili midogo kama yangu utakonda bure ufe uache wazazi na watoto...

13: Usafi, kiufupi wanawake wameumbwa na hulka ya usafi, awe mtu wa kupangilia vitu vizuri anavaa kwa unadhifu kiasi hata ukitembea nae njiani huogopi kumtambulisha. Usafi huu ni wa ndani na nje, kumbuka mwili wa mwanamke ni tofauti na wa kiume, km hapendi usafi saa hizi na hamna watoto itakuwaje majukumu yakiongezeka? Ndio pale unampeleka rafiki yako kwako na kukutana na viatu juu ya meza….

14: Asiwe mtu wa ugomvi, tuanaamini kuwa mwanamke aliumbwa mpole na mnyeynyekevu, awe angalau mtu wa kushuka hata ukimkosea, ili kwa kinywa chake asiharibu ndoa na uhusiano. Unakuta mwanamke mgovi kitu kidogo tu maneno mengi mpaka mtaa wa  tatu wanasikia. Hapa mwanamke ujue una lazimisha mwanaume atafute kimada anayejua kutuliza kinywa chake!.

15: Mchapa kazi, simaanishi awe ameajiriwa au awe na kazi ila namanisha anayewza kutimiza majukumu yake vizuri na kwa wakati. Sio unamnunulia mboga mapema, unarudi kazini unakutahata vyombo vya jana hajaosha na kupika hajapika. Mwanamke usiwe mtu wa kupangiwa majukumu jiongeze, ukiona nguo chafu fua, usisubiri kuambiwa. Ukitekeleza majukumu vizuri lazima upendwe tu….

16. Mdomo wa heshima,  mwanamke mpenda maneno mengi si vema ukawa nae makini,  i mean chaumbeya,  hapa jua kutofautisha kati ya muongeaji na maneno mengi..

Binti zingatia haya ili uolewe, wanaume wamebaki wachache n wanawake kila siku wanaongezeka_fact
Hizi ni chache kati ya nyingi, azotakiwa kuwa nazo, ruksa kuongeza kwa kukoment na kushare ili watu wajue …..
#wants_to_see_you_change_everyday
Franco Samuel

Friday, June 23, 2023

HOW TO WIN INFLUENCE OVER PEOPLE AS A LEADER

6/23/2023 02:26:00 PM 0
HOW TO WIN INFLUENCE OVER PEOPLE AS A LEADER

 As a leader, winning influence over people requires a combination of communication, trust-building, and leading by example. Here are some strategies to help you win influence as a leader:


1. Effective Communication: Develop strong communication skills and practice active listening. Clearly articulate your thoughts and ideas, and encourage open and honest communication within your team. Seek feedback and address concerns promptly.


2. Build Trust: Trust is crucial for gaining influence as a leader. Establish trust by being honest, reliable, and transparent. Follow through on your commitments and be accountable for your actions. Treat others with respect and fairness.


3. Lead by Example: Demonstrate the behavior and qualities you expect from your team members. Show integrity, empathy, and professionalism. Be open to learning and personal growth. Your actions will set the tone for your team.


4. Empower Others: Encourage autonomy and provide opportunities for growth and development. Delegate tasks and responsibilities to team members, and support them in achieving their goals. Recognize and acknowledge their contributions.


5. Inspire and Motivate: Create a compelling vision and communicate it to your team. Inspire them with your enthusiasm and passion. Recognize and celebrate achievements, and provide constructive feedback to help individuals improve.


6. Collaborate and Build Relationships: Foster a collaborative and inclusive environment. Encourage teamwork, collaboration, and mutual support among team members. Build positive relationships with your team and other stakeholders.


7. Support and Mentor: Offer support, guidance, and mentorship to your team members. Help them develop their skills and overcome obstacles. Show genuine care for their well-being and foster a positive work culture.


8. Adaptability and Flexibility: Be adaptable and open to change. Demonstrate flexibility in your approach and decision-making. Consider different perspectives and be willing to adjust your strategies when necessary.


9. Continuous Learning: Strive to improve your own leadership skills and knowledge. Stay updated on industry trends and best practices. Seek feedback from your team and actively seek opportunities for self-improvement.


10. Recognize and Value Diversity: Appreciate and leverage the diverse perspectives and skills within your team. Create an inclusive and supportive environment where everyone feels valued and respected.


Remember, influencing others is a long-term endeavor that requires consistency, authenticity, and empathy. It's important to understand and adapt to the unique needs and personalities of your team members while staying true to your own leadership style.  


______________

Remember to share

HOW TO GET RICH BEFORE AGE 30

6/23/2023 02:11:00 PM 0

 Getting rich before the age of 30 is a common goal for many people. While there is no guaranteed path to wealth, here are some strategies that can increase your chances of achieving financial success:

Some people achieved richness before age 30, and they travel the world.


1. Set Clear Goals: Define what being "rich" means to you and set specific financial goals. Having a clear vision can motivate you and guide your actions.


2. Educate Yourself: Continuously invest in your knowledge and skills. Acquire expertise in your chosen field or industry, and stay updated on trends and opportunities.


3. Develop Multiple Streams of Income: Diversify your income sources to increase your earning potential. This could include starting a side business, investing in stocks or real estate, or freelancing in your spare time.


4. Save and Invest Wisely: Develop good saving and investing habits early on. Create a budget, live below your means, and save a portion of your income. Learn about different investment options and consider seeking advice from financial professionals.


5. Be Entrepreneurial: Consider starting your own business or being self-employed. Entrepreneurship can provide unlimited income potential, but it also comes with risks and challenges. Conduct thorough market research, create a solid business plan, and be prepared to work hard.


6. Network and Collaborate: Build a strong professional network by attending industry events, joining relevant groups or associations, and connecting with influencers in your field. Collaborate with others to leverage their expertise and opportunities.


7. Take Calculated Risks: Be willing to take wise and calculated risks in your financial ventures. This may involve investing in stocks, starting a business, or pursuing higher education.


8. Continuously Learn and Improve: Embrace a growth mindset and focus on personal and professional development. Stay adaptable and open to new opportunities and ideas. Learn from your failures and use them as stepping stones to success.


9. Surround Yourself with Success: Surround yourself with like-minded individuals who are also striving for success. Their mindset, habits, and network can positively influence your own journey.


10. Stay Persistent and Patient: Building wealth takes time, dedication, and perseverance. Be patient, stay focused on your goals, and learn from both successes and setbacks.


Remember, financial success is subjective, and it's important to prioritize your happiness and well-being along the way.

Thursday, September 8, 2022

What will happen when Queen Elizabeth II dies?

9/08/2022 07:29:00 PM 0

 What will happen when Queen Elizabeth II dies?





Nini kitatokea kama Queen Elizabeth II, Malkia wa Uingereza ataaga Dunia?


 Katika video hii kuna maelezo ya kina kuhusu ni nini hasa kitatokea ikiwa Malkia huyu wa Uingereza ambaye ameitawala Uingereza kwa miaka mingi haijwahi tokea. Ikumbikwe kuwa Malkia huyu ameshuhudia mabadiliko mengi ya Mawaziri Wakuu katika Taifa la Uingereza huku yeye akiendelea kutawala.


Monday, August 15, 2022

Kenya election result: William Ruto wins presidential poll

8/15/2022 06:32:00 PM 0

 

Deputy President William Ruto has won Kenya's presidential election, the electoral commission chairman has said, amid dramatic scenes.


He narrowly beat his rival, Raila Odinga, taking 50.4% of the vote.


The announcement was delayed amid scuffles and allegations of vote-rigging by Mr Odinga's campaign.


Four of the seven members of the electoral commission refused to endorse the announcement, saying the results were "opaque".



"We cannot take ownership of the result that is going to be announced because of the opaque nature of this last phase of the general election," said Juliana Cherera, the vice-chairperson of Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC)


"We are going to give a comprehensive statement... and again we urge Kenyans to keep calm. There is an open door that people can go to court and the rule of law will prevail," she sai


Mr Odinga's party agent earlier alleged that there were "irregularities" and "mismanagement" in the electio


This was the first time Mr Ruto, 55, had run for president. He has served as deputy president for 10 years, but fell out with President Uhuru Kenyatta, who backed Mr Odinga to succeed hi

m.n.d..ed him.

Thursday, July 28, 2022

11 SOFT SKILL SKILLS TO ACCELERATE YOUR CAREER

7/28/2022 10:55:00 PM 0
  1. Communication:
    ..Listen without interrupting.
    • Speak with a positive  tone.
    • Pay attention to your body language.


    2. Persuasion:

    • Identify what other people care about.
    • Create stories that resonate with them.
    • Communicate those stories with brevity and emotion.


    3. Negotiation:

    • Listen carefully.
    • Understand what the other side wants.
    • Know your worth.
    • Then propose solutions that benefit both sides.


    4. Relationship building:

    • Help others unconditionally.
    • Look for common interests.
    • Always add value before asking for something in return.

    5. Empathy:

    • Take a genuine interest in other people.
    • Look at things from their perspective.
    • Acknowledge their feelings.
    • Never judge and always be supportive.
    • Be generous with your time and attention.


    6. Positive attitude:

    • Never gossip.
    • Never complain.
    • Criticize sparingly.
    • Always speak well of others.

    7. Teamwork:

    • Avoid claiming all the credit.
    • Celebrate other people's wins.
    • Praise teammates publicly and praise them generously.

    8. Conflict resolution:

    • Avoid arguments and accusations.
    • Focus on solutions over problems.
    • Apologize unconditionally when it's your fault.


    9. Emotional intelligence.

    • Never act impulsively.
    • Take a step back when you're upset.
    • Understand what you're feeling.
    • Understand the consequences of your actions.
    • Then proceed accordingly.


    10. Time management:

    • Learn to prioritize.
    • Learn to delegate.
    • Learn to say no.



    11. Work ethic:

    • Take responsibility for your work.
    • Always show up and deliver on time.
    • Always keep your commitments.
    • Never deflect blame on to others.




Audio