Saturday, April 20, 2024

SIMBA Vs YANGA

 MAPUMZIKO: YANGA 2-0 SIMBA, ZITAFIKA NGAPI?



Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika, Yanga inaongoza magoli 2-0 dhidi ya Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Mkapa


Walioitungua Simba mpaka sasa ni Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38

No comments:

Post a Comment

Audio