Saturday, November 4, 2017

Simulizi KISASI LAZIMA 1

RIWAYA:KISASI LAZIMA
mwandishi : Franco Samuel
WhatsApp : 0768800687

Episode 1...
Picture arts kwa hisani ya Mtandao 
 

Alikuwa akifanya mazoezi mazito na magumu mno tofauti na siku zingine. Mwili wake uliojengeka vizuri kwa mazoezi ulitoa jasho kila sehemu na kufanya nguo alizovaa kuloa na kunata mwilini hali iliyofanywa mwili ujichore kama wacheza vigodoro na khanga moko waliomwagiwa maji.  Alidhamiria kupiga push ups mia tatu na kisha kufanya zoezi la target kwa muda ili kujihakikishia uwezo wa kulenga shabaha.

Alizipiga push ups kwa staili tofauti tofauti na mwili ulizidi kuloa jasho chapachapa. Baada ya hapo alichukua bastola yake aina ya Berretta na kupakia risasi kisha kulenga kwenye mchoro wa mtu uliokuwa umewekwa ukutani. Alipiga risasi ya kwanza ikatua kichwani kwenye ile picha. Rusasi ya pili ilitua kwenye kifua upande wa kushoto na kulenga moyo moja kwa moja. Risasi ya tatu ilitua kwenye paji la uso na kufanya tobo kubwa mno kwenye ile picha kubwa... 


Alichomoa magazine na kujaza risasi kisha akarirudia zioezi lile na kufanikiwa kurudia mule mule. Safari hii risasi ya mwisho ilipiga kelele sana na kufanya watu waamke. Huyu ni Immanuel Huang kijana wa umri wa maika 20. Kijana mdogo ila hatari sana ndani ya taifa la Tanzania kutokana na uwezo wake. Licha ya kutafutwa kwa muda muda mrefu na vyombo vyote vya usalama kuanzia police, mashushu na watu wengine hakuna aliyejua yuko wapi na wapi anaishi. Hakuna aliyekuwa na uhakika kama Immanuel Huang alisoma au hakusoma. Hakuna aliyekuwa na uhakika kama Immanuel Huang alikuwa na wazazi ama laa. Ilibaki kitendawili kikubwa mno hasa jina lake la pili la Huang kwani siyo jina halsia la kitanzania. Wengi walijua kuwa kuna siri kubwa ila nani angezitoa siri za kijana huyu?  Kwa matukio na vitu alivyofanya watu walimuogaopa na yeye alijiita Imma The Boy... The silent Killer...

*** ***
Mlio wa risasi ya mwisho ya Imma The Boy ulimuamsha binti mrembo aliyekuwa kapiga usingizi wa asubuhi. Baada ya kukurupuka binti yule alitazama huku na huku na kupapasa kitandani kama vile alikuwa akimtafuta mtu. Aliinuka alikiwa kavalia nightdress ya rangi nyeupe iliyoangaza na kuonyesha mwili wake ulioumbika vema. Binti alikuwa mrembo, mwenye macho ya ujazo wa wastani  na kiuno kilichojengeka vema kabisa. Mviringo wa kifua chake chenye  maziwa magumu na chchu  zilizosimama wima kama vifuu vya nazi vilivyochongwa ulifanya aonekane mariddadi zaidi na kumtia miadi mwanaume yeyote ambaye angepita  katika upeo wake.  Alitembea kiuvivu na kufanya makalio yalikaa vema kwenye nyonga yake kutiskika kwa step huku akielekea mlangoni. Miayo ilimjia kivivu akipiga miayo kuashiria alikuwa kusawiri uchovu wa usingizi. Alitembea kila hatua kwa umakini ili asisikiwe na mtu. Alifika mlangoni mwa jumba lile zuri na kukishika kitasa polepole alizungusha ili kufungua mlango. Alizungusha bila mafanikio akagundua kuwa mlango ulikuwa umefungwa kwa nje. Kidogo alipigwa na butwa na kuanza kuangaza huku na kule ndani ya chumba kile kizuri kilichojaa vifaa vya thamani kubwa mno. 


Ghafla mlango ulifunguliwa na aliyeingia haukuwa mwingine bali ni Immanuel Huang "Imma The Boy " kama wengi walivyozoea kumuita. Alikuwa kashika bastola yake aina ya Berretta na alipoinasa sura ya binti yule mrembo aliyekuwa kazubaa aliificha mashine yake kwa nyuma na kuichomekea haraka kwenye sarawili yake ya mazoezi.


Alitembea haraka na kumkumbatia binti ikifuatiwa na busu zito lililotua kwenye paji la uso wa binti yule. Zawadi ya busu ilimfanya binti azizime kwa hisia na kumrudishi Imaa The Boy busu la mdomo. Ndimi zao zikatekenyanya huku wakizidisha utundu kwa kunyonyana midomo yao. Walibaki wakikumbatiana kwa muda huku mikono yao ikitalii maeneo tofauti ya miili yao. Sauti ya pumzi kupanda ilisikika na binti alionekana kuhema sana mathalani ya mtweta kilima afikapo katika kilele kikuu juu ya mlima. Pole pole walikokotana kimahaba na kuingia kwenye chumba kidogo ndani ya chumba kile kilichokuwa kimeandikwa Bathroom. Wakiwa wamekumbatiana bado,  Imma alimtoa binti mikononi mwake na kuvua nguo zake zilizokuwa zimelowa kwa jasho la mazoezi  na kubaki kama alivyozaliwa. Alibonyeza kitufe kimoja kwenye  ukuta na maji ya bomba ya mvua yalianza kutiririka. Yalitoa mvuke na hii iliashiria yalikuwa ya moto. 


Binti hakuchelewa, alifungua kifungo cha kifuani kwenye nguo yake. Aliiachia ikadondoka chini na kubaki kama alivyokuja duniani. Uzuri wake ulionwa na Imaa ambaye ndani ya muda mfupi alianza kuhema huku wote wakiyasogelea maji na kukumbatiana. Maji yaliwatiririkia huku wakipakana sabuni na miili yao ikigusana sana. Haukupita muda kila mtu alikuwa akihema na hakuna aliyeongea chochote. Ni lugha za ishara na vitendo ndio ziliendelea ndani ya chumba kile. Imma alionekana kuvamia kifua cha binti na kuminya minya maziwa yake ya mviringo yaliyogawanyika vema katika kifua cha binti. Walioga kwa mtindo wa kukumbatiana na kufanya kila mtu awe na adhiki na mwenzake. Imaa hakukawia baada ya kuridhika alimuinua binti na kum'beba juu na kutoka naye kisha kum'bwaga kitandani. Michezo ya hapa na pale ilitawala na hakika walionekana kunogewa kweli asubuhi ile huku Imma akionekana kuwatayari kulila tunda lake.

 Dakika kadhaa mbele kitanda kilikuwa kikipiga kelele na kulalamika kwa kuzidiwa na shughuli iliyokuwa ikiendelea. Sio cha Imma wala binti wote walihema kwa nguvu huku waking'ang'aniana mithili ya majogoo yaliyopigana muda mmreu. Walikuwa katika ulimwengu mwingine kabisa wa mahaba huku kila mmoja akijitahidi kumuonesha uwezo mwenzake katika tasinia ya mapenzi. Binti alikata chake kiuno mithili ya mwendo wa feni bovu likigomagoma kuzunguka kisha spidi ikaongezeka haraka kama mcheza mziki wa dance wa zamani Yondo Sister.  

Pindua huku na kule kulifanya jasho ziwatoke wote huku sauti za kulalamika zikizidi kuwatoka bila kupenda. Yess ohhhhh there u fuck me..... Ohhhh that is sweet ....do it harder baby huku vidole vyake virefu vikizidi kutalii kifuani mwa Imma The Boy aliyekuwa kama anafumba macho.  Maneno yote yalimtoka binti huku akizidisha spidi ya uzungushaji wa kiuno chake. Binti yule huku akiwa kama kapagawa alipitisha mkono wake kwenye mto aliokuwa kauegemea wakiwa wanaendelea na shughuli na chini ya ule mto alichomoa bastola. Huku akiendelea na shughuli ile nzito ya kupeana mahaba, aliichomoa Pistol ile na kuisonta kifuani pa Imma. Imma kuona hivyo aliruka kwa kumsukuma binti haraka kama vile hakuwa kwenye ile shughuli ipotezayo nguvu na akili za mtu. Kwa sekunde kadhaa wote walibaki wameduwaa..

"Mary John Kihwana!  U have made a mistake! Yes a big mistake my dear! U think am not clever? Yaani "Mary John Kihwana! Umekosa sana. Umefanya kosa kubwa mno. Unafikiri sina akili? " ni maneno ya ukali aliyoyatoa Imma huku shoka lake la maangamizi likisinyaa kwa kasi ya ajabu. Imma aliendelea kusema.. 

"Umekuja kwangu ukijitambukisha kama Angel John. Nilijua na kukutambua kuwa wewe ni Mary John Kihwana. Najua misheni yako. Na mimi mtu akija kwenye anga zangu huwa simwachi salama. Nakupa dakika mbili,  fanya maamuzi sahihi and I promise you will pay for this. No regrets,  make proper decision"

Maelezo ya Imaa yalimstua mno binti na kumfanya adondoshe bastola yake bila hata kupiga risasi. Imma alimwacha Mary Joh Kihwana afikiri ili ampe jibu. Alivuta kabati pale chumbani na kuchukua suruali tayari kwa kuivaa. Akiwa kainama kuvaa suruali alipokea teke moja lililomdondosha chini na kufanya apige ukelele wa maumivu. Aligeuza kichwa chake na kukutana na bastola ikimsonta pale chini alipotua huku akiwa hajui cha kufanya. Aliyemsonta si mtu mwingine bali ni binti mrembo hatari sana tena akiwa uchi kwa jina la Angel John ijapo Imma alimjua kama Mary John Kihwana!! 

Imma alipata maumivu makali mno kwenye kichwa chake kutokana na lile teke. Pia wakati anadondoka alidondokea kichwa hivyo ni kama akili haikuwa sawa.  Kwa sekunde takribani 30 hakujua afanye nini na binti alimkazia macho huku akikoki mashine na kuishika vema trigger tayari kwa kufyatua risasi. Ulikuwa wakati mgumu mno kwake. Hakuamini kama binti aliyemuamini alikuwa ni shushushuu aliyetumwa kumwangamiza. Akakumbuka mazoezi yake. Akili ni kama ilifanya kazi mara kumi sasa. Alijifyatua pale chini kwa mfumo wa kuteleza na kumpiga binti mateke ya kumzoa miguu yake yote miwili. Mateke yale yalimpleleka binti moja kwa moja chini na kufanya iiasalimie sakafu bila kupenda. Wakati akidondoka bastola yake ilidakwa na Imma aliyejiona ni bonge la shujaa. 

Haraka imma aliinuka na kuanza kumshambulia binti kwa ngumi za uso za mfululizo na  zisizo na idadi wala hesabu. Muda mfupi uso wa binti ulituna pima kama mtu aliyeng'atwa na nyuki huku baadhi ya sehemu zikipasuka na kutoa damu. Macho yake mazuri sasa yalikuwa hayaonekani. Zoezi hili lilifanyika kimya kimya kiasi kuwa hata mtu wa chumba cha jirani asingeweza kutambua chochote. Ngumi zile zenye ujazo ziliendelea kutua usoni mwa binti yule na damu nyingi zikamtoka mdomoni. 

 Imma aliporidhika kuwa kamdhoofisha adui wake alisimama na kumbeba kisha kufungua kichumba kidogo ndani ya kile chumba. Ndani kulikuwa na silaha tofauti.  Pia kulikuwepo na kiti cha umeme. Alimfunga binti yule kwenye kamba kubwa na kuwasha taa kali mno zilizomkabili binti usoni. Alianza kumhoji masawali lakini Mary alikuwa kama kala gundi mdomoni mwake kwani hakujibu chochote.  Kofi na ngumi ziliendelewa kupigwa usoni mwa Mary bila huruma. Mwishowe Imma alichukua camera yake na kupiga picha. Pia ali rekodi video akimtesa Mary na kisha kufunga mlango wa chumba kile. Alichukua kompyuta yake na kuweka video na zile picha...
.Itaendelea... 

Kuna nini kati ya hawa watu?
Ni nani kamtuma Angel ama Mary John Kihwana kumwangamiza Imma The Boy?
Je huu ndio mwisho wa maisha ya Imma? Ni kosa gani Imma The Boy kalifanya? 
Huu ni mwanzoo tuuuu...
Usikose no 2..

No comments:

Post a Comment

Audio