Monday, October 9, 2017

Breaking News: Prof Mkumbo ajivua Uanachama

MKUMBO AJIVUA UANACHAMA

 PIGO KWA ACT.... 


Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof Kitila Mkumbo ameandika barua ya kujivua uanachama wa ACT-Wazalendo kuanzia leo.

  - Prof. Mkumbo alikuwa mshauri wa chama hicho na baadae kujiuzulu alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji....

4

No comments:

Post a Comment

Audio